Monday, April 10, 2017
Tafakari
2Nyakati20:6
"akasema, Ee BWANA, Mungu wa baba zetu, si wewe uliye mbinguni? tena si wewe utawalaye falme zote za mataifa? na mkononi mwako mna uweza na nguvu, asiweze mtu yeyote kusimama kinyume chako"
Mfalme Yehoshafati alipovamiwa aliwakusanya watu wake,wakafunga na kuomba wakimlilia Mungu na kumkumbusha Mungu juu ya nguvu na uweza wake. Nasi pia chochote kilicho kikwazo mbele yetu,tumkumbushe Mungu kwa kufunga na kuomba.
MKUMBUSHE MUNGU.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Sefania 3:17 "Yehova Mungu wako yupo katikati yako. Kama Mwenye nguvu, ataokoa.Atakufurahia kwa shangwe. Atanyamaza katika upendo wake...
-
''Usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam ni...
-
" Kwa maana mimi, Bwana, Mungu wako, nitakushika mkono wako wa kuume, nikikuambia, 'Usiogope, mimi nitakusaidia" ...
-
Siku ya leo ningeomba tafakati yetu tukiongozwa na kitabu cha Esta wakati wa mfalme Ahausero ambapo Esta alichaguliwa kua malkia. “Mfa...
No comments:
Post a Comment