Monday, April 10, 2017

Tafakari


2Nyakati20:6
"akasema, Ee BWANA, Mungu wa baba zetu, si wewe uliye mbinguni? tena si wewe utawalaye falme zote za mataifa? na mkononi mwako mna uweza na nguvu, asiweze mtu yeyote kusimama kinyume chako"
Mfalme Yehoshafati alipovamiwa aliwakusanya watu wake,wakafunga na kuomba wakimlilia Mungu na kumkumbusha Mungu juu ya nguvu na uweza wake. Nasi pia chochote kilicho kikwazo mbele yetu,tumkumbushe Mungu kwa kufunga na kuomba.
MKUMBUSHE MUNGU.

No comments:

Post a Comment

Sefania 3:17 "Yehova Mungu wako yupo katikati yako. Kama Mwenye nguvu, ataokoa.Atakufurahia kwa shangwe. Atanyamaza katika upendo wake...